Jumapili, 15 Februari 2015

Umuhimu wa maktaba

Maktaba ni mkusanyiko wa nyaraka mbalimbali zenye taarifa ambazo zimepangiliwa ktk mfumo mzuri .
Maktaba zimegawanyika katika aina nne.kuna maktaba za umma,vyuo na shule sekondari na msingi,maktaba maalumu na maktaba binafsi.
Umuhimu wa maktaba
-Kuelimisha
-Kuburudisha
-kuonya na kuadabisha nk.
  

Imeandaliwa na
CHACHA,J.Clement
Librarian-UDOM university

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni